The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mamlaka ya Ubaharia nchini KMA kwa niaba ya Idara ya Utabiri wa Hali ya Anga Kenya Meteorological imewatahadharisha wavuvi na mabaharia kuwa waangalifu kufuatia mawimbi makali ambayo yalianza kushuhudiwa jana, nayanayotarajiwa kukamilika tarehe 21 mwezi huu.
Katika taarifa kwa vyombo vya habari, mamlaka hiyo imezitaja Bahari Hindi kwenye Kaunti za Lamu, Kilifi, Mombasa na Kwale kuwa zitakazoathirka na hali hiyo. Aidha KMA imewaonya wananchi vilevile kuwa makini ili kuzuia visa vya kuzama baharini.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.