The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
ICC yathibitisha kupokea ombi la kutakiwa kuwachunguza viongozi wa Muungano wa NASA
by Sophia Chinyezi
Mahakama ya ICC Jumanne ilithibitisha kupokea ombi la kutakiwa kuwachunguza viongozi wa Muungano wa NASA. Wakenya wawili, kupitia kampuni ya uanasheria ya Canada, ilimwandikia barua Mkuu wa Mashtaka wa ICC, Fatou Bensouda kumtaka aanzishe uchunguzi dhidi Kinara wa NASA, Raila Odinga na mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka.
Kenneth Otieno na Martin Nkari wanaitaka mahakama hiyo kuwachunguza wawili hayo kwa madai ya uchochezi, na uhalifu mwingine ambao mahakama hiyo ina mamlaka ya kufuatilia.
Otieono ni Mwenyekiti wa Kundi la Sera za Kimataifa IPG, huku Nkari akiwa Katibu katika shirika hilo. Mkuu wa Kitengo cha Habari na Ushahidi, katika ofisi ya Bensouda, Mark Dillon amethibitisha kupokea stakabadhi za ombi hilo.?
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.