The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Ikiwa imesalia takribani miezi minane kabla ya uchaguzi mkuu ujao kuandaliwa, Muungano wa CORD umetoa makataa ya hadi Desemba 23 kuhakikisha wakamishana wapya wanateuliwa kuyatekeleza majukumu yao. Wakiwahutubia wanahabari mapema leo, Vinara wa muungano huo Raila Odinga na Kalonzo Musyoka, wamewataka makamishna wa sasa wakiongozwa na Isaac Hassan kukoma kuendeleza shughuli za IEBC wakisema kuwa wako ofisini kinyume cha sheria.
Kulingana na CORD, hatua hiyo ni njama ya kuipendelea Jubilee katika uchaguzi mkuu ujao.
Raila amedai kwamba IEBC imekuwa ikiendesha shughuli ya ukaguzi wa sajili ya wapiga kura kisiri.
Amesema Upinzani katu hautakubali kuandaliwa kwa uchaguzi mkuu ujao, bila sajili mpya, na kwamba hautakubali kuendeshwa na maafisa wa sasa wa IEBC.
Aidha, vinara hao wa wanataka IEBC isitishe shughuli ya kutoa kandarasi hadi pale makamishna wapya watakapoingia afisini.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.