Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

CORD yatoa makataa hadi Desemba 23, kwa makamishna wa IEBC kuondoka

Na Carren Omae

Ikiwa imesalia takribani miezi minane kabla ya uchaguzi mkuu ujao kuandaliwa, Muungano wa CORD umetoa makataa ya hadi Desemba 23 kuhakikisha wakamishana wapya wanateuliwa kuyatekeleza majukumu yao. Wakiwahutubia wanahabari mapema leo, Vinara wa muungano huo Raila Odinga na Kalonzo Musyoka, wamewataka makamishna wa sasa wakiongozwa na Isaac Hassan kukoma kuendeleza shughuli za IEBC wakisema kuwa wako ofisini kinyume cha sheria.
Kulingana na CORD, hatua hiyo ni njama ya kuipendelea Jubilee katika uchaguzi mkuu ujao.
Raila amedai kwamba IEBC imekuwa ikiendesha shughuli ya ukaguzi wa sajili ya wapiga kura kisiri.
Amesema Upinzani katu hautakubali kuandaliwa kwa uchaguzi mkuu ujao, bila sajili mpya, na kwamba hautakubali kuendeshwa na maafisa wa sasa wa IEBC.
Aidha, vinara hao wa wanataka IEBC isitishe shughuli ya kutoa kandarasi hadi pale makamishna wapya watakapoingia afisini.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News