×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Bukhungu stadium renovations

Manispaa ya kakamega inapangia kufanya ukarabati kwa uwanja wa mpira wa bukhungu. Manispaa hiyo imekadiria kutumia shilingi milioni 200 kukamilisha shughuli hiyo ambayo itaanza wakati wowote kutoka sasa. Uwanja wa bukhungu ni uwanja wa nyumbani wa klabu ya ligi kuu ya western stima na timu zingine za daraja la chini katika eneo la kakamega.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in