The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Hatua ya aliyekuwa Naibu Jaji Mkuu, Kalpana Rawal kushtumu vikali kustaafishwa akiwa na umri wa miaka sabini imewekwa katika mizani leo hii huku Jaji Philomena Mwilu aliyeteuliwa kumrithi akitakiwa kueleza iwapo naye atakatalia uongozini pindi atakapofikisha umri huo. Akihojiwa na Kamati ya Bunge ya Haki na Sheria, Mwilu hata hivyo amesema yu tayari kustaafu akifikisha umri huo.
Ikumbukwe kuwa Rawal alipinga kustaafishwa akiwa na umri wa miaka sabini kwa misingi kuwa aliapishwa kuwa jaji chini ya katiba ya zamani iliyoweka ukomo wa umri wa kustaafu kuwa miaka sabini na minne. Hata hivyo yeye pamoja na aliyekuwa Jaji Philip Tunoi walistaafishwa kufuatia uamuzi wa Mahakama ya Juu.
Licha ya kukiri kuhusu kukithiri kwa ufisadi katika idara ya mahakama, Jaji Mwilu aidha amesema hajawahi kushiriki ufisadi na kwamba atafanikisha vita dhidi ya jinamizi hilo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.