The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Jina la Jaji wa Mahakama Kuu, Isaac Lenaola linatarajiwa kuwasilishwa kwa Rais ili kuanza mchakato wa kumwidhinisha kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu. Lenaola ameteuliwa na Tume ya Huduma za Mahakama kuchukua wadhfa wa Jaji wa Mahakama ya Juu ulioachwa wazi kufuatia kustaafu kwa aliyekuwa Jaji wa mahakama hiyo, Phlip Tunoi. Hadi kuteuliwa kwake, Lenaola amekuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Alipohojiwa tarehe 12 mwezi huu wakati wa mchakato wa kujaza wadhfa huo, Lenaola alieleza imani yake kuwa ana tajriba ya kutosha kuwa Jaji wa Mahakana ya Juu.
Lenaola vilevile anakumbukwa kwa kauli yake kuwa iwapo angelinganishwa na mnyama angekuwa ndovu, alipoulizwa swali hilo wakati wa mchujo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.