The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Tofauti zinaendelea kuibuka kuhusiana na hoja zilizowasilishwa na mwanaharakati mmoja kuhusu kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi EACC, Phillip Kinisu. Kinisu anachunguzwa kufuatia madai kwamba kampuni yake ya Esaki ililipwa zaidi ya shilingi milioni thelathini na tano kupeleka vifaa vya kuchimba kisima katika Taasisi ya Taifa ya Huduma za Vijana NYS, kati ya mwezi Oktoba 2014 na Novemba 2015.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.