Je wajua kuwa wanafunzi wengi kutoka shule za mashinani hufika shuleni bila viatu kutokana na hayo zaidi ya watoto elfu thelathini katika sehemu za mashambani mkoani pwani wanaishi na minyoo na maradhi ya kichocho maarufu kama bilhazia hii ni kulingana na wizara ya afya na mashirika yasiyo ya kiserikali yanayoendesha huduma za matibabu ya bure ya minyoo na bilharzia katika shule 48 katika wilaya za kilifi na kaloleni ambapo wanafunzi wa shule za msingi wameathirika.