Familia ya Betty Bayo yaomba serikali kuchunguza kiini cha kifo

Familia ya Betty Bayo yaomba serikali kuchunguza kiini cha kifo
Mama wa mwanamuziki wa nyimbo za njili nchini Betty Bayo, amewasilisha rasmi ombi kwa Ofisi ya Mkuu wa Mashtaka ya Umma nchini ili kufunguliwa uchunguzi rasmi kuhusu kifo cha binti yake.
.

RELATED NEWS