Cyrus Jirongo afariki baada ya ajali barabarani

Cyrus Jirongo afariki baada ya ajali barabarani
Aliyekuwa Waziri na Mbunge wa zamani wa Lugari, Cyrus Jirongo, amefariki dunia kufuatia ajali ya barabarani eneo la Karai, Naivasha, kwenye barabara kuu ya Nairobi–Nakuru.
.

RELATED NEWS