Mbunge William Ruto wametangaza rasmi chama atakachoabiri katika kugombea urais mwaka huu. united republican party kitazinduliwa jumapili hii wiki hii na usajili wa wafuasi kuanzishwa. uamuzi wa kuunda chama hiki uliafikiwa baada ya malumbano kujiri katika chama cha udm walichotarajia kujiunga nacho.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
- Unlimited access to all premium content
- Uninterrupted ad-free browsing experience
- Mobile-optimized reading experience
- Weekly Newsletters
- MPesa, Airtel Money and Cards accepted