×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Al-shabaab waua watu watano Lamu

Watu watano wameuliwa kwa kukatwa vichwa na washukiwa wa kundi gaidi la Al-Shabaab kwenye Kijiji cha Salama, kata ya Mkunumbi, katika Kaunti ya Lamu.

Miongoni mwa watu waliouliwa ni mwanafunzi wa kidato cha tatu ambaye alikuwa ameenda nyumbani kwa ajili ya likizo ya katikati ya muhula.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in