Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Idadi ya watu walioripotiwa kutoweka yafikia 360; limesema Shirika la Msalaba Mwekundu

Familia zilizowapoteza wapendwa wao katika eneo la Shakahola kaunti ya Kilifi zinazoendelea kujitokeza huku idadi ya watu walioripotiwa kupotea ikiongezeka hadi 360.

Kulingana na mshirikishi wa Shirika la Msalaba Mwekundu eneo la Pwani Hassan Musa, watu 198 miongoni mwa waliopotea ni walio chini ya miaka kumi na minane.

Musa aidha anadai kuwa hatua hiyo inadhihirisha kuwa watoto wameathirika zaidi na matukio yanayofungamana na dini ya mchungaji Paul Mackenzie.

Wakati uo huo, Musa amebainisha kuwa huenda ikachukua muda mrefu familia hizo kuwatambua wapendwa wao kutokana na kile anachodai kuwa huenda wengine bado wamesalia katika msitu wa Shakahola.

Haya yanajiri huku upasuaji wa miili inayoendelea kufukuliwa ukitarajiwa kuaanza hapo kesho .

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News