The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wataalam katika sekta ya Afya wanatoa wito kwa serikali na washikadau wengine kushirikiana kufadhili ili kufanikisha mipango ya kutoa chanjo na ukaguzi dhidi ya ugonjwa wa saratani.
Rais wa Muungano wa Wataalam wa Afya ya Uzazi Kenya Obstetrical Gynaecological Society Kireki Omanwa amesema kuna haja kwa kuwapo kwa mpango wa kitaifa wa kuwapa chanjo wanawake na wasichana dhidi ya virusi vya Human papillomavirus HPV ili kuzuia saratani ya kizazi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…