Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Mawaziri wateule kuhojiwa kuanzia Jumatatu

Shughuli ya kuwahoji mawaziri wateule inaanza rasmi Jumatatu huku kizungumkuti kikiwa kimezingira uteuzi wa Musalia Mudavadi kuwa Mkuu wa Mawaziri. Katika ratiba ya mahoajiano hayo yatakayoanza Jumatatu hadi Jumamosi ijayo Mudavadi ndiye ameratibiwa kufika wa kwanza, hata hivyo, kabla ya kuhojiwa Spika wa Bunge la Kitaifa, Moses Wetangula atasubiriwa kutoa mwelekeo kuhusu nafasi hiyo.

Wiki iliyopita Spika Wetangula alisema atatoa mwelekeo huo Jumatatu asubuhi kabla ya shughuli ya kuanza kuwahoji mawaziri wateule kuanza mwendo wa saa tatu. Hatua hii inafuatia mvutano maswali yaliyoibuliwa na upande wa wachache bungeni kuhusu nafasi aliyotengewa mudavadi ukisema haitambuliki kikatiba.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News