×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Tuju avunja kimya chake kuhusu madai ya Chebukati

Mkurugenzi Mkuu Chama cha Azimio la Umoja One Kenya Raphael Tuju amevunja kimya chake kuhusu madai yaliyoibuliwa katika hati kiapo ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi IEBC Wafula Chebukati kwenye rufaa ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais.

Katika kikao na wanabari, Tuju ambaye amekiri kukutana na Chebukati amejitetea akisema walikutana naye akiwa na watu wengine na hivyo madai ya kuwa alilenga kushawishi matokeo ya uchaguzi ni uongo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in