The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Serikali imefungua akaunti ya kutuma michango ya kuwasaidia waathiriwa wa mkasa wa Solai kufuatia maji kupasua kingo za bwawa la Patel, Solai Nakuru. Unaweza kutuma fedha kupitia M-Pesa Paybill 10000, Account -Solai.
Hayo yanajiri huku familia za watu 37 miongoni mwa 48 walioaga dunia zimefanikiwa kutambua mili ya jamaa zao. Ripoti iliyotolewa na maafisa wanaoongoza shughuli hiyo ni kwamba watu arubaini na wanne wangali wanatafutwa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.