×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
.

News

Wanasayansi wagundua chanzo cha kuganda kwa damu lililohusishwa chanjo za COVID-19

Wanasayansi wamegundua chanzo halisi cha tatizo adimu sana la kuganda kwa damu lililohusishwa na baadhi ya chanjo za COVID-19 zinazotumia kirusi aina ya adenovirus
By Suleiman Kagwe 2026-02-17 15:19:01
Maafisa wa polisi katika eneo la Athi River, Kaunti ya Machakos, wamefanikiwa kukamata washukiwa wawili wanaoaminika kuwa wanachama wa genge lenye vijana 15
By Patel Mulevu 2026-02-13 12:36:33
Serikali ya Kitaifa imetenga shilingi bilioni mbili kwa fidia ya ardhi na shilingi milioni 838 kwa ajili ya kuhamisha wafanyabiashara, katika juhudi za kuharakisha ujenzi
By Robert Menza 2026-02-13 10:10:40
Mswada kuhusu mabadiliko katika sekta ya elimu ya juu humu nchini ambao umeidhinishwa na baraza la mawaziri huku ukisubiri hatma ya wabunge umeibua hisia mseto
By Patel Mulevu 2026-02-13 10:04:50
Vifo vya akina mama wajawazito vimepungua kwa kiasi kikubwa katika Kaunti ya Kisii, kufuatia utekelezaji wa mpango wa kuimarisha mfumo wa afya
By Robert Menza 2026-02-12 14:50:24
Serikali imetangaza kaunti 14 kuwa miongoni mwa zilizoathirika zaidi na kiangazi kufuatia mvua chache iliyonyesha msimu uliopita.
By Suleiman Kagwe Na Patel Mulevu and Patel Mulevu 2026-02-12 11:36:40
Ukame mkali umeacha zaidi ya Wakenya milioni mbili wakikabiliwa na njaa, huku jamii za wafugaji katika eneo la Kaskazini Mashariki zikionekana kuathirika zaidi
By Suleiman Kagwe 2026-02-11 12:29:37
Tawi la Linda Mwananchi linafanya kazi dhidi ya uongozi wa Oburu Odinga, likipinga mkataba wa makubaliano na UDA na kudai demokrasia ndani ya chama kupitia NDC.
By Suleiman Kagwe 2026-02-11 12:16:54
Uchambuzi mpya wa shirika hilo unaonesha kuwa takriban asilimia 37 ya visa vipya vya saratani vilivyoripotiwa mwaka 2022, sawa na visa milioni 7.1, vilihusishwa na sababu zinazoweza kuzuilika.
By Robert Menza 2026-02-10 17:00:06
Idara hiyo imesema kuwa sehemu kubwa ya nchi itashuhudia joto kali hadi mvua zitakapoanza mwezi Machi.
By Robert Menza 2026-02-02 17:30:04
Kupitia mpango wa lishe shuleni unaotekelezwa bila malipo, zaidi ya watoto 12,000 wanaosoma katika vituo vya ECDE wananufaika na chakula cha kila siku.
By Robert Menza 2026-01-29 17:12:14
Hata hivyo, hali ya ukame kuliko kawaida inatarajiwa katika maeneo ya pwani ya Kenya, hali inayohitaji tahadhari ya mapema kwa jamii na wadau wa sekta nyeti kama kilimo na maji.
By Suleiman Kagwe 2026-01-28 16:19:10