×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Je, Vladimir Putin atakamatwa kufuatia agizo la ICC?

Kitendawili kinazidi kuuzingria uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita ICC wa kutoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladmir Putin.

Katika hati hiyo, ICC imemtuhumu Putin kuhusika katika uhalifu wa kivita, ikiwa ni pamoja na kuwahamisha watoto kutoka Ukraine kwenda Urusi kinyume na sheria.

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in