Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
Living
By Carren Omae| 1 year ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Benefits of taking mabuyu
- Defining imposter syndrome and what to do about it
- Men's irrelevance for sex, reproduction is coming at us fast
- Are women secretly attracted to 'bad boys'?
- Like him? Then shoot your shot
- My daddy is my lover: He broke my virginity
- A mother's joy, pain in raising a child with cerebral palsy
- Easy recipe: Cheesy beef lasagna
- Why more women are opting for sperm donors
- When shopping for your home on Facebook
.
Popular this week
- A mother's joy, pain in raising a child with cerebral palsy
- Emotions have big benefits for our immune system, scientists say
- Thinking of getting a tattoo? These are the health risks
- Like him? Then shoot your shot
- Easy recipe: Cheesy beef lasagna
- Easy to make spaghetti minced meat
- Benefits of taking mabuyu
- Fertility myths set couples up for disappointment
- Defining imposter syndrome and what to do about it
- Are women secretly attracted to 'bad boys'?
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.