Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
Living
By Carren Omae| 3 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- What it takes for multiple founders to succeed together
- The secret to a happy marriage
- Chiloba death: It's wrong for anyone to accuse Kenyans of homophobia
- No more cooking and cleaning for him, you’re his girlfriend, not a wife!
- Sprinkle Sprinkle: Dating for bills and survival
- Family demands answers over boy's sudden death
- Michelle Obama to be inducted into U.S. National Women's Hall of Fame
- Watch Lupita Nyong'o celebrate Faith Kipyegon's victory at Athlos NYC meet
- Azziad Nasenya's rise to stardom
- Eat well, move more: Your tips for better body, mind and spirit
.
Popular this week
- I want my best friend to be my boyfriend, bad idea?
- What it takes for multiple founders to succeed together
- Easy recipe: Mutton shoulder Mandi
- How the right innerwear size can transform comfort and confidence
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Why you should start a kitchen garden and how to do it
- Can you ever truly move past childhood criticism?
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- MPs demand end to delocalisation of teachers
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.