Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
News
By Carren Omae
| Jan. 12, 2023 | 1 Min read
.
Trending Now
- Fried onion-smothered chicken
- My boyfriend never seems to have time for me
- PHOTOS: Rachel Ruto meets singers, prophets on first day at State House
- How to keep your makeup intact this rainy season
- My boyfriend never seems to have time for me
- Booby trap: Men and their crazy obsession for ‘mammary glands’
- Is it necessary to oil your scalp?
- Easy recipe: Soft, coconutty mahamri
- Simple tips to give your skin a glow
- CS Machogu reveals link between his family and the Magohas
.
Popular this week
- I'm finding it hard to date
- Why women continue to use body enhancers despite their harmful effects
- My boyfriend never seems to have time for me
- Like it or not, being single is not fun
- Dos and don'ts of dating a single mum
- How to keep your makeup intact this rainy season
- How a clear plan can transform your life
- Why do women choose to stay with men who cheat?
- Five surprising traits men find unattractive in women
- Watch your health this rainy season
.
Similar Articles
.