Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
Living
By Carren Omae| 3 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Age-gap romance: Celebrities defying relationship age norms
- Rising above all odds,Brian Weke from a matatu tout to a CEO
- How to break pregnancy news to your boss
- Five steps to reclaiming your sex life
- When society abhors infertility, sperm donors
- Maternal health: Drug linked to death of pregnant women
- I hope my dad is smiling down at me
- I want my best friend to be my boyfriend, bad idea?
- Kandara poll exposes infighting in UDA with CS Wahome on the spot
- Woman left in tears over father-in-law's 'gross' comment about breastfeeding
.
Popular this week
- I want my best friend to be my boyfriend, bad idea?
- What it takes for multiple founders to succeed together
- Easy recipe: Mutton shoulder Mandi
- How the right innerwear size can transform comfort and confidence
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Can you ever truly move past childhood criticism?
- Why you should start a kitchen garden and how to do it
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- MPs demand end to delocalisation of teachers
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.