Chama cha Madaktari KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo wa madaktari kwenye Kaunti ya Nandi baada ya Serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha mishahara yao.Mwenyekiti wa KMPDU kwenye eneo hilo, Dr. Darwin Ambuka amesema kwa miezi kadhaa, baadhi ya madaktari wamekuwa wakilipwa huku wengine wakikosa kupokea mishahara yao kwa wakati.Ambuka aidha amewashutumu maafisa wakuu wa wafanyakazi katika kaunti hiyo kwa madai ya kupuuza matakwa ya chama hicho ya kuwataka kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari.Wakati huo huo, Ambuka ameisuta serikali ya Kaunti ya Turkana kwa madai ya kupanga kuwaajiri madaktari na wataalam wengine wa afya kwa mkataba wa kandarasi kinyume na ule wa kudumu.
Chama cha KMPDU kwenye eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kimetishia kuitisha mgomo
Living
By Carren Omae| 3 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- How the right innerwear size can transform comfort and confidence
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Here's how to set yourself up for success
- 10 myths, misconceptions about natural hair debunked
- Why you should start a kitchen garden and how to do it
- Breast cancer awareness month: what you need to know this year
- Can you ever truly move past childhood criticism?
- Peter Okondo: The man too qualified for an African's job
- How to pamper your natural mane
- Five authentically Kenyan breakfast recipes to try this holiday
.
Popular this week
- I want my best friend to be my boyfriend, bad idea?
- What it takes for multiple founders to succeed together
- Playing favourites: The 'golden child' of the family
- Easy recipe: Mutton shoulder Mandi
- Can you ever truly move past childhood criticism?
- Why you should start a kitchen garden and how to do it
- Quiet strength of mothers raising kids with special needs
- Easy recipe: Walnuts cheesy kunafa
- Delicate dance: What reciprocity really looks like in relationships
- I got intimate with my step-dad while my mum was away and it's killing me
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.