×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
Premium

Rais Kenyatta azindua rasmi Nairobi Expressway

Living

Rais, Uhuru Kenyatta hatimaye amezindua rasmi matumizi ya barabara ya mwendo-kasi ya Nairobi Express Way baada ya ujenzi wake kukamilika.

Akizungumza wakati wa shughuli ya uzinduzi huo, Rais amesema kwamba chini ya uongozi wake Kenya imepiga hatua kubwa katika kuimarisha muundo msingi.

Aidha amesema Barabara ya Expressway imechangia pakubwa katika kupunguza msongamano wa magari hasa katika Barabara Kuu ya Nairobi-Mombasa, kupunguza gharama ya uchukuzi kando na kubuni nafasi za kazi.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles