Na, Suleiman Yeri Matiang'i awaonya wapigakura dhidi ya kusalia katika vituo Kaimu Waziri wa Masuala ya Ndani ya Nchi, Dkt. Fred Matiang'i ameendelea kushikilia msimamo wake kuwa vyombo vya usalama havitawaruhusu wananchi ambao hawajaidhinishwa na Tume ya Uchaguzi, IEBC kusalia katika vituo vya kupigia kura. Akizumgumza baada ya mkutano wa faragha uliowaleta pamoja wakuu wa usalama kutoka kaunti zote 47 Matiang'i amesisitiza kuwa ni jukumu la walinda usalama kuhakikisha kuwa Tume ya uchaguzi, IEBC inatekeleza jukumu lake bila mwingilio wowote. Aidha akizungumza katika mkutano wa kisiasa eneo la Mombasa Rais Uhuru Kenyatta vilevile amewarai wananchi kuondoka vituoni punde tu baada ya kupiga kura. Matamshi ya Rais yanaoneka kipinga mapango wa mrengo wa NASA a Adopt a Polling station ambao wamesisitiza watuutekeleza wakati wa uchaguzi licha ya pigamizi kutoka kwa serikali. Wakati uo huo Matiangi amesema kuwa serikali itawaongezea ulinzi wasimamizi wote mia mbili tisini wa uchaguzi katika maeneo bunge na maafisa wengine wakuu wa Tume hiyo.
Matiang'i awaonya wapigakura dhidi ya kusalia katika vituo
Living
By | 8 years ago | 1 Min read
.
Trending Now
- Pilau with soya chunks
- Mum grieves after daughter commits suicide after watching popular Netflix show
- Ten home remedies to help regulate high blood pressure
- You don’t get over it, you just get used to it: Things no one will tell you about grieving
- Terry Ramadhani appointed as KEMSA new CEO
- Need a man? How to get one in 2016
- The health benefits of kefir
- Low libido? This could be the issue
- How to do the self-breast examination
- ‘My wife lets our daughter sleep in our bed at night, I sleep in the spare room’
.
Popular this week
- Ten birthday personalities: Which one are you?
- How to wear a headwrap with confidence and style
- I have heard rumours about my husband sleeping around with other women. Should I confront him?
- You don’t get over it, you just get used to it: Things no one will tell you about grieving
- Help! My friend is a cheater
- From filters to face creams: How social media fuels skincare obsession
- Learn how to make decisions that shape your destiny
- Easy recipe: Delicious beef pilau
- Six ways to make your hair grow faster
- Azziad Nasenya's rise to stardom
.
Similar Articles
.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national
and international interest.