×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

NSPB kuwasilisha majina 80 kwa EACC kuchunguzwa kwa wizi wa mbolea

Living

Na, Suleiman Yeri Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao, NCPB imefichua kwamba itawasilisha majina ya watu themanini kwa Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi, EACC kuchunguzwa kwa wizi wa mbolea iliyopunguzwa bei. Mwenyekiti wa NCPB, Geoffrey King'ang'i amesema polisi wanawachunguza baadhi ya watu wanaoshukiwa kupakia upya mbolea hiyo na kuwauzia kwa bei ya juu watu wasiostahili. Bodi hiyo aidha imekiri kwamba wafanyakazi wake arubaini na watatu walishirikiana na maafisa wa kilimo na maafisa wa utawala kuiba mbolea hiyo iliyofaa kuuziwa wakulima kuboresha mazao yao kwa bei nafuu. King'ang'i, amesema takribani maafisa ishirini na wawili wa ngazi ya juu waliosimamishwa kazi na katibu katika Wizara ya Kilimo, Richard Lesiyampe ni miongoni mwa watu wanaochunguzwa

 

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles