×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Nyeri fire follow up

Living

Watu 2 wamefariki na wengine watano kupata majeraha mabaya ya moto katika eneo la Giakanja huko Nyeri kufuatia mlipuko wa gesi. Ajali hii ilitokea pale lori moja la kusafirisha mitungi ya gesi lilipogonga mlingoti wa stima na kusababisha ha kituo cha kusambazia petroli kulipuka katika eneo hilo.watatu hao walionusurika na majeraha mabaya ya moto wamefikishwa katika hospitali ya Kenyatta kupata matibabu zaidi.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles