×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Chaos mar ODM grassroot elections - Kisw

Living
Uchaguzi wa chama cha odm huko bungoma uligeuka na kuwa uwanja wa kurushiana makonde baada ya mjumbe mmoja kumzuilia waziri alfred sambu kutoka kwenye kituo cha kupigia kura. Na hapa jijini nairobi bodi ya uchaguzi ya chama cha odm imefutilia mbali uchaguzi wa kaunti ya nairobi na kutaka uchaguzi huo kurejelewa tena hapo kesho.mbunge wa starehe margret wanjiru alijiondoa kwenye uchaguzi wa leo baada ya tofauti kuibuka baina yake na mbunge wa zamani reuben ndolo.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles