×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Maisha peupe (accident --Violet Munji)

Living

Katika miezi ya hivi karibuni, kenya imeshuhudia mikasa ya kila aina, hali ambayo imewaacha wengi wakiadhirika pakubwa. Kwenye orodha ya mikasa hii, ajali za barabarani ndizo zinazoongoza. Mamia wamepoteza maisha yao na wengine wengi kulemaa. Katika makala ya maisha peupe wiki hii, tunaangazia hadithi ya violet munji, muadhiriwa wa ajali ya barabarani, lakini ambaye hakuuruhusu ulemavu alioupata kumvunja moyo. Dorcas Mwangi anatueleza zaidi.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles