×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Siasa Za Ufisadi

Living

Huku vita dhidi ya ufisadi vikiendelea kupamba moto serikalini, kuna madai kwamba vita hivi vinachukua mwelekeo tofauti pamoja na kupata muingilio wa kisiasa.Kuna wanaodai kwamba baadhi ya wanasiasa wameanza kutumia vita dhidi ya ufisadi kama kigezo cha kujipatia umaarufu pale wanapowaumbua wenzao wanaodaiwa kuhusika na kashfa za ufisadi. Lakini kwa sasa kitendawili ambacho kinakosesha wengi usingizi ni kuambatana na hatua ya waziri mkuu kumtetea waziri wa maji Charity Ngilu dhidi ya tuhuma za ufisadi na hivyo kuibua suala jee ni yepi anayojua kuambatana na sakata hii?

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles