×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Hatma Ya Wetangula

Living

Waziri Wetangula leo aliwekwa kibindoni baada ya ripoti ya mauzo ya balozi sita kuwasilishwa bungeni na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na mambo ya nje Adan Keynan. aidha kamati hiyo imetaka waziri Wetangula kuondolewa ofisini kwa kutowajibikia zaidi ya shilingi biloni moja katika mauzo au ununuzi wa balozi hizo hadi uchunguzi utakapokamilika. Hata hivyo spika wa bunge aliahirisha mjadala huo hadi wiki ijayo. 

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles