×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now

Uhusiano wa Oman, Sultan wa Zanzibar na walivyotimuliwa

Sultan Qaboos bin Said wa ufalme wa Oman na binamu wa Sultan wa Zanzibar.

Mmoja wa familia ya Sultan wa Zanzibar na ambaye amekuwa mfalme wa miaka mingi katika himaya za kiarabu, Sultan Qaboos bin Said, binamu wa Sultan wa mwisho wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah al Said ameaga dunia nchini Oman.

Kifo cha Sultan Qaboos kwa Wakenya chungu nzima hususan katika mwambao wa pwani ya Kwale, Mombasa, Kilifi, Malindi na Lamu ni afueni kutokana na mwamko mpya ambao mwendazake alikuwa ameanza kusukuma vizazi wa Sultan kurudi kunyang’anya ardhi wapwani ambao wamekalia ardhi ambazo Warabu wa Oman walinyakuwa awali.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in