Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Mavazi yanayomweka kiongozi wa kike kwenye mizani

Wanawake na mavazi. Je unapomuona mwanamke ama msichana yeyote, jambo la kwanza ambalo huwa waangalia ni nini? Ni mavazi au ni nywele ama ni vipodozi? Na iwapo huyu mwanamke anataka kuwa kiongozi kwa mfano, utamhukumu na nini ukimwona kwa mara ya kwanza? Mavazi? Ni majeli yake (maumbile) ama utangoja azungumze? Kwa kweli sisi wanadamu tunao uzoefu wa kuwahukumu wenzetu kwa maumbile yao ya nje tu kabla ya jambo jingine lolote.

Ukipatana na mtu yeyote utamwangalia na kum? kiria kwa namna fulani kulingana na vile alivyovaa. Basi jambo hili linawaathiri wanawake kwa sana kuwaliko wanaume. Leo acha tuongee kuhusu mavazi hasa ya wanawake na wasichana uongozini. Je mavazi yana umuhimu upi katika mwanamke anayetaka kuwa kiongozi, sharti avae nguo fulani? sharti awe na nywele fulani na uso wake kupakwa mafuta kwa jinsi fulani? Hili ni swali nililowauliza vijana wenzangu tulipokuwa tunapiga gumzo pale mtaani.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News