×
App Icon
The Standard e-Paper
Read Offline Anywhere
★★★★ - on Play Store
Download Now

Uchawi na athari zake Pwani na barani Afrika

Wazee wa Kaya daima wamekuwa wakihusishwa na tambiko za uchawi hivyo kuleta athari kubwa kwa baadhi yao ambapo vijana wamewaua kwa madai ya uchawi .

Katika maelezo ya historia ya watu wa Mijikenda, tumesikia kwamba kulikuwa na watu waliokuwa na vipawa mbali mbali na pia majikumu tofauti tofauti. Wazee wa Kaya, walikuwa makuhami ambao ndio waliokuwa na majukumu ya kuliongoza taifa kwa njia nyingi.

Wazee hawa ndio waliokuwa na majukumu ya kufanya maombi kwa niaba ya jamii nzima, ila tu walipotoka kufanya maombi hayo, walikuja kuwaeleza watu yale maagizo waliyopewa kutokana na maombi yao. Mengi ya waliyoamriwa kufanya kama jamii, yalifuatwa bila ya maswali kutoka kwa jamii, kwani, hawa ni watu waliokuwa na uwezo wa kuzungumza na ‘Mulungu’ na mara walipopewa maagizo ya kufuata, basi kila mtu alikuwa hana budi kuyafuata maagizo hayo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in