National 15 rugby team plans-Swahili

Baada ya msimu wa mchezo wa wachezaji saba kila upande kukamilika wiki jana kule Scotland, mfumo wa wachezaji kumi na tano ndio sasa inabisha hodi. Kenya itachuana na timu ya Mpumalanga Pumas ya Afrika kusini ambao waliwapa fedheha kubwa wakati walipocheza mara ya mwisho mwaka jana.

Related Topics

rugby