×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Punde baada ya Namwamba kuingia mamlakani, aliahidi kuwa kibarua chake kikubwa ni kuirejesha soka kwenye ramani ya Afrika na dunia

Ni nadra sana kuzipata habari njema za michezo, hasa soka, kutoka nchini Kenya. Hii ikichangiwa pakubwa na hatua ya aliyekuwa Waziri wa Michezo Dr. Amina Mohamed kuvunjilia mbali lililokuwa shirikisho la soka nchini FKF.

Kuvujiliwa mbali kwa FKF, kuliandamwa na kufungiwa nje kwa soka la Kenya na shirikisho la soka duniani, FIFA. Kwa maana hii ni kuwa mama Amina aliachia 'uongozi' wa soka mikononi mwa kamati simamizi/kamati andalizi na kila aina ya kamati. Matokeo yake je? Marufuku yakawa kwa miezi tisa!

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902