×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Serikali imetangaza mpango wa kuufufua uchumi; Ksh53.7B zimetengwa

Serikali imetangaza mpango wa kuufufua uchumi ambao umeendelea kudorora kufuatia maambukizi ya virusi vya korona. Rais Uhuru Kenyatta amesema shilingi bilioni hamsini na tatu zimetengwa kufanikisha mpango huo kwa kuangazia mambo manane muhimu.

Sekta ya muundo msingi imetengewa shilingi bilioni tano  zitakazotumika kuwaajiri wafanyakazi wa humu nchini kufanikisha ukarabati wa barabara ambazo zimeathirika kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha. Fedha hizo zitatumika katika ukarabati wa Barabara na madaraja.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902