The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Serikali imetangaza mpango wa kuufufua uchumi ambao umeendelea kudorora kufuatia maambukizi ya virusi vya korona. Rais Uhuru Kenyatta amesema shilingi bilioni hamsini na tatu zimetengwa kufanikisha mpango huo kwa kuangazia mambo manane muhimu.
Sekta ya muundo msingi imetengewa shilingi bilioni tano zitakazotumika kuwaajiri wafanyakazi wa humu nchini kufanikisha ukarabati wa barabara ambazo zimeathirika kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha. Fedha hizo zitatumika katika ukarabati wa Barabara na madaraja.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.