Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Je, wanasiasa pwani ni watetezi au wasaliti wa hili zimwi la SGR?

Viongozi wa kaunti zote sita wakiongozwa na magavana wao katika mkutano baina yao na Rais Uhuru Kenyatta. Je, lengo lao ni kuyajali maslahi ya mwananchi ama ni tumbo mbele. [Picha: Pambazuko]

Huku athari za sera tata ya serikali kuu kulazimisha usafirishaji mizigo inayowasili bandari ya Mombasa kupakiwa hadi Nairobi kwa njia ya reli ya SGR ikizidi kubainika, mjadala kuhusu hilo unazidi kupamba moto kila uchao. Pigo la uamuzi huo haswa kwa uchumi wa mji wa Mombasa, pamoja na miji mengine kwa jumla inayotegemea mtiririko wa biashara kutokana na usafirishaji makontena kwa njia ya barabara, umekuwa mfano wa zimwi litakalodhuru sehemu hizo kwa muda mrefu siku za usoni. Huku mjadala huo ukiwavuta wadau wa nyanja mbalimbali husika, baadhi yao sasa wanaonekana kutilia shaka hususan uaminifu wa wajumbe wa kisiasa kuambatana na misimamo yao katika suala hili.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News