The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kwa miaka kadhaa sasa, kituo ukipendacho cha Radio Maisha kimezidi kutamba, kutaratamba na kutawala tasnia ya utangazaji. Sawa na mwaka jana, mamilioni ya Wakenya wamepiga kura kupitia shughuli iliyosimamiwa na Mamlaka ya Mawasiliano, CA na kuichagua Radio Maisha kuwa namba moja kote nchini, chaguo la wananchi.
Kilichofuata ni vigelegele, tabasamu,mwendo wa jiwa na minenguo ya viuno kutoka kwa kikosi cha Radio Maisha kikiongozwa na Mkuu wa kituo hiki, Tom Jappani hadi jukwaani kupokea kombe la ushindi. Aidha Radio Maisha ilituzwa kuwa nambari mbili nchini kwa habari za kuaminika.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.