The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Gavana wa Nairobi, Mike Sonko ametangaza zawadi ya shilingi elfu arubaini kwa yeyote mwenye video iliyomnasa mwanamke akimnyonyesha mwanawe, alipokuwa amebebwa katika gari la maafisa wa kaunti hiyo.
Kupitia mtandao wake wa Facebook, Sonko amesema mwanamke huyo anadaiwa kukamatwa na kulazimishwa kuketi juu ya gari hilo na maafisa wa Kaunti ya Nairobi kabla ya kupelekwa katika Kituo cha Polisi cha Central.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.