Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Asilimia 55 ya watoto hudhulumiwa kingono na maafisa wa polisi.

Ripoti ya Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu, KNCHR ikionesha kwamba asilimia 55 ya watoto hudhulumiwa kingono na maafisa wa polisi na asilimia 45 wakidhulumiwa na wananchi, Naibu Kamishna kwenye Kaunti ya Trans Nzoia,  Beatrice Bikeyo amewasihi Wakenya kutosalia kimya na kuwaripoti watu wanaodhulumu  watoto.

Mkurugenzi wa masuala ya watoto kwenye kaunti hiyo,  Pauline Mukasa ameutaja umaskini na utamaduni chanzo cha ongezeko la visa hivyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

KNHCR