The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Ripoti ya Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu, KNCHR ikionesha kwamba asilimia 55 ya watoto hudhulumiwa kingono na maafisa wa polisi na asilimia 45 wakidhulumiwa na wananchi, Naibu Kamishna kwenye Kaunti ya Trans Nzoia, Beatrice Bikeyo amewasihi Wakenya kutosalia kimya na kuwaripoti watu wanaodhulumu watoto.
Mkurugenzi wa masuala ya watoto kwenye kaunti hiyo, Pauline Mukasa ameutaja umaskini na utamaduni chanzo cha ongezeko la visa hivyo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.