The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Licha ya serikali ya Kaunti ya Nairobi kutumia mabilioni ya fedha kwenye ujenzi wa barabara ili kupunguza msongamano wa magari jijini, wahudumu wa magari bado wanapitia changamoto si haba kuingia na kutoka jijini hali ambayo imesababisha hasara katika sekta ya uchukuzi.
Kwa mujibu wa washikadau katika sekta ya trafiki, uegeshaji wa magari katikati ya jiji unapaswa kupigwa marufuku na badala yake mabasi yanayobeba abiria wengi kutumika.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.