×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now

Kero la Msongamano wa magari jijini Nairobi.

Licha ya serikali ya Kaunti ya Nairobi kutumia mabilioni ya fedha kwenye ujenzi wa barabara ili kupunguza msongamano wa magari jijini, wahudumu wa magari bado wanapitia changamoto si haba kuingia na kutoka jijini hali ambayo imesababisha hasara katika sekta ya uchukuzi.

Kwa mujibu wa washikadau katika sekta ya trafiki, uegeshaji wa magari katikati ya jiji unapaswa kupigwa marufuku na badala yake mabasi yanayobeba abiria wengi kutumika.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in