×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Kero la Msongamano wa magari jijini Nairobi.

Licha ya serikali ya Kaunti ya Nairobi kutumia mabilioni ya fedha kwenye ujenzi wa barabara ili kupunguza msongamano wa magari jijini, wahudumu wa magari bado wanapitia changamoto si haba kuingia na kutoka jijini hali ambayo imesababisha hasara katika sekta ya uchukuzi.

Kwa mujibu wa washikadau katika sekta ya trafiki, uegeshaji wa magari katikati ya jiji unapaswa kupigwa marufuku na badala yake mabasi yanayobeba abiria wengi kutumika.

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in