The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mshukiwa wa mauaji ya mfanyabiashara, Monica Kimani Joseph Irungu, maarufu Jowie, atabaini kwa kipindi cha wiki mbili zijazo iwapo ataachiliwa kwa dhamana ama la. Jowie aliwasilisha rufaa mahakamani akitaka ombi lake la kuachiliwa kwa dhamana litathminiwe upya baada ya mahakama kulipinga ombi jingine sawa na hilo miezi sita iliyopita.
Mshukiwa huyo amesisitiza kwamba hakuhusika na mauaji ya Monica mnamo mwezi Septemba mwaka uliopita katika makazi yake kwenye Mtaa wa Kilimani, jijini Nairobi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.