Idara ya Upelelezi, DCI yawaokoa watoto 74

Idara ya Upelelezi, DCI imewaokoa watoto 74 wa nyumba moja ya watoto baada ya kubanika kuwa wamekuwa wakiishi katika mazingira duni. 

Kadhalika, msimaizi wa makazi hayo Pauline Wambui ametiwa mbaroni huku ikibainika kwamba makazi hayo hayakuwa yamesajiliwa.

Idara hiyo imesema itachunguza jinsi watoto hao walivyosajiliwa ili kuishi katika makazi hayo.

Related Topics

dci