×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Waziri Matiang’i amekuwa sugu toka utotoni

 
Waziri wa Usalama wa Taifa na Ushirikishi wa Serikali Kuu Dkt Fred Matiang’i.

Wakenya leo hii wamemheshimu Waziri wa Usalama wa Taifa na Ushirikishi wa Serikali Kuu Dkt Fred Matiangí kama mpasua mwamba katika masuala sugu ambaye kwa njia moja au nyingine, serikali imeelekea kufikia ngamani mwa suluhisho.

Yeye ni kimbunga ambacho ukisimama mbele yake, utasombwa na kikukuzi (upepo) wake mkali wa msimamo wa kikazi. Wengi hatahivyo hawajui kwamba Matiang’I sawia na Wakenya wengi, ni mtoto wa skwota ambaye wazazi waliwajibika kuhama kutoka kwa kijishamba kidogo katika eneo la Mugirango Kusini hadi eneo bunge la Borabu Kaunti ya Nyamira wanapoishi kwa sasa.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in