Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Wakazi wa Eneo la Mamboleo kwenye Kaunti ya Kisumu wamemiminika kwenye Barabara ya Kisumu-Kakamega kujichotea sukari iliyomwagiga

Wakazi wa Eneo la Mamboleo kwenye Kaunti ya Kisumu wamemiminika kwenye Barabara ya Kisumu-Kakamega kujichotea sukari iliyomwagiga  baada ya lori lililokuwa limebeba bidhaa hiyo kupoteza mwelekeo na kubingiria huku dereva na taniboi wake wakipata majeraha.  Licha ya wakazi kupata riziki wasiokuwa wameitarajia, wametoa wito kwa mamlaka inayohusika kuikarabati sehemu ya barabara hiyo kwa kuweka matuta kwani ni takriban wiki moja tu ambapo ajali nyingine ilitokea kwenye eneo hilo.

Meneja wa mauzo wa duka la jumla ambalo lori yao limehusika kwenye ajali hiuyo, Hadson Muhatia, amesema waliojeruhiwa wanatibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Jaramogi Oginga Odinga, Jijini Kisumu.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News