The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wakazi wa Eneo la Mamboleo kwenye Kaunti ya Kisumu wamemiminika kwenye Barabara ya Kisumu-Kakamega kujichotea sukari iliyomwagiga baada ya lori lililokuwa limebeba bidhaa hiyo kupoteza mwelekeo na kubingiria huku dereva na taniboi wake wakipata majeraha. Licha ya wakazi kupata riziki wasiokuwa wameitarajia, wametoa wito kwa mamlaka inayohusika kuikarabati sehemu ya barabara hiyo kwa kuweka matuta kwani ni takriban wiki moja tu ambapo ajali nyingine ilitokea kwenye eneo hilo.
Meneja wa mauzo wa duka la jumla ambalo lori yao limehusika kwenye ajali hiuyo, Hadson Muhatia, amesema waliojeruhiwa wanatibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Jaramogi Oginga Odinga, Jijini Kisumu.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.