The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Serikali imetenga kima cha shilingi bilioni 3 zitakazotumiwa kuboresha kilimo cha kahawa nchini. Akihutubu wakati wa Kongomano la Kimataifa la Kahawa linaloendelea katika Ukumbi wa KICC, jijini Nairobi, Rais Uhuru Kenyatta amesema mpango huo utaimarisha pakubwa ukuzaji wa zao hilo ambao umedidimia kwa muda.
Rais aidha amekitaja kilimo cha kahawa kuwa tengemeo kuu kwa familia nyingi hivyo kuwapo kwa haja ya kukiboresha.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.