×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Serikali imetenga kima cha shilingi bilioni 3 zitakazotumiwa kuboresha kilimo cha kahawa

Serikali imetenga kima cha shilingi bilioni 3 zitakazotumiwa kuboresha kilimo cha kahawa nchini. Akihutubu wakati wa Kongomano la Kimataifa la Kahawa linaloendelea katika Ukumbi wa KICC, jijini Nairobi, Rais Uhuru Kenyatta amesema mpango huo utaimarisha pakubwa ukuzaji wa zao hilo ambao umedidimia kwa muda.

Rais aidha amekitaja kilimo cha kahawa kuwa tengemeo kuu kwa familia nyingi hivyo kuwapo kwa haja ya kukiboresha.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics