×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Serikali yashauriwa kutenga Fedha zaidi kuimarisha Muundo msingi za shule

Mpango wa kuhakikisha kuwa watahiniwa wote waliofanya mtihani wa darasa la nane, KCPE mwaka jana kujiunga na shule za upili hautafanikiwa iwapo serikali haitaimarisha miundo-msingi.

Katika hoja iliyowasilishwa bungeni na Mbunge wa Emuhaya, Omboko Milemba, serikali imeshauriwa kuhakikisha kuwa asilimia 70 ya fedha zinazotengewa hasa shule za upili za kutwa zinatengewa muundo msingi.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics