Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Bunge la Seneti limebuni kamati ya kutatua mzozo kati ya Joho na Bunge la Kaunti

Bunge la Seneti limebuni kamati ya kutatua mzozo wa kisiasa kati ya Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho na wawakilisha wadi wa bunge la Mombasa. Mzozo huo ambao ulianza wakati gavana Joho alitishia kuanzisha mchakato wa kuwatimua  baadhi ya wawakilishi  kwa madai ya kukosoa utendakazi wake, sasa umefika mbele ya kamati za ugatuzi na maendeleo ya serikali.

Joho ambaye anatarajiwa leo hii kufika mbele ya kamati hiyo chini ya uenyekiti wa Seneta wa Laikipia John Kinyua, anatarajiwa kuweka wazi chanzo cha mgogoro baina yake na wawakilisha hao.  Licha ya shughuli za maridhiano kuendelea, kiongozi huyo ameapa kuendelea na kushinikiza kutimuliwa kwa baadhi ya wawakilisha anaowataja kuwa waasi na maadui wa maendeleo.

Kwa upande mwingine, Joho amelaumiwa na wawakilishi hao kwa kuzembea na kutelekeza majukumu yake akiwa gavana, suala ambalo amepuuzilia mbali akilitaja ni njama ya kumlenga visisyo. Kamati hiyo vilevile  imemualika spika wa bunge la Mombasa Aharub Khatri, kutoa mwanga zaidi kuhusu mzozo huo ambao umetishia kusambaratisha huduma za maendeleo  kwenye kaunti ya Mombasa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics