The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Utafiti mpya uliofanywa na Chuo Kikuu cha Daystar, umebainisha kwamba ni vigumu kuepuka matumizi ya mara kwa mara ya mitandao ya kijamii kuliko unywaji wa pombe na matumizi ya dawa za kulevya. Utafiti huo uliwaohusisha watu zaidi ya 200, wenye umri wa kati ya miaka 18 na 55, ulifanyika kati ya Januari 9 na 16 mwaka huu.
Utafiti huo ulilenga kubaini uwezo wa mtu kuzuia matumizi ya mitandao kila siku. Utafiti wenyewe umebainisha kwamba ni vigumu kwa watu kuzuia matumizi ya twiter na facebook ilinganishwa na uwezo wao wa kujiepusha na unywaji wa pombe na matumizi ya dawa za kulevya.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.