The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Rais Uhuru Kenyatta tayari amewasili kwenye ukumbuki kunakoandaliwa kongamano la sita la ugatuzi kwa uzinduzi rasmi. Baadhi ya viongozi ambao wamehutubu wakati wa vikao vya asubuhi vya kongamano hilo wamelizungumzia suala la ufisadi.
Akihutubu kwa niaba ya maseneta, Seneta wa Siaya, James Orengo amesema hatua ya kuwakamata washukiwa haitoshi kudhihirisha kwamba vita hivyo vimeimarishwa. Orengo amesema wahusika wanastahili kuwajibishwa bila kujali hadhi yao katika jamii.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.