Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Balozi wa Uingereza humu nchini asema wahusika wa ufisadi nchini wanafaa kufungwa jela

Rais Uhuru Kenyatta tayari amewasili kwenye ukumbuki kunakoandaliwa kongamano la sita la ugatuzi kwa uzinduzi rasmi.  Baadhi ya viongozi ambao wamehutubu wakati wa vikao vya asubuhi vya kongamano hilo wamelizungumzia suala la ufisadi.

Akihutubu kwa niaba ya maseneta, Seneta wa Siaya, James Orengo amesema hatua ya kuwakamata washukiwa haitoshi kudhihirisha kwamba vita hivyo vimeimarishwa. Orengo amesema wahusika wanastahili kuwajibishwa bila kujali hadhi yao katika jamii.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

ugatuzi Nic Hailey