Osman Erdinc Elsek alipokua kizimbani Shanzu na wakili wake Cliff Ombeta. [Photo, Courtesy]
Ni alfajiri na mapema, siku ya Ijumaa tarehe 22 mwezi Februari 2019 ambayo mshukiwa anayedaiwa kuwa aliwalawiti wasichana wa makamu aliokuwa akiishi nao kwake nyumbani, atarajiwa kujiwasilisha kortini baada ya kikao chake cha mwisho kuachiliwa kwa dhamana.