The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Viongozi wa Chama cha ANC, chake Musalia Mudavadi wametangaza kuunga mkono kauli ya Rais Uhuru Kenyatta kwamba serikali yake itafanikisha maendeleo kote nchini bila ubaguzi. Wakiwahutubia wanahabari katika Makao Makuu ya chama hicho jijini Nairobi, viongozi hao wakiongozwa na Naibu Mwenyekiti wa ANC, Ayub Savula wamesema licha ya kuwa katika chama pinzani, wanaunga mkono juhudi zozote za serikali kuboresha maisha ya wananchi.
Savula aidha ameirejelea kauli ya Rais Kenyatta ya kuwaita 'washenzi ' watu wanaomshtumu kwa madai ya kutolizingatia eneo la Kati ya Nchi kimaendeleo akisema Rais anajukumu la kuwahudumiwa Wakenya wote kwa usawa bila kuyajali maeneo wanayotoka.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.