Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

ANC yatangaza kuunga mkono maendeleo yanayotekelezwa na Rais Kenyatta

Viongozi wa Chama cha ANC, chake Musalia Mudavadi wametangaza kuunga mkono kauli ya Rais Uhuru Kenyatta kwamba serikali yake itafanikisha maendeleo kote nchini bila ubaguzi. Wakiwahutubia wanahabari katika Makao Makuu ya chama hicho jijini Nairobi, viongozi hao wakiongozwa na Naibu Mwenyekiti wa ANC, Ayub Savula wamesema licha ya kuwa katika chama pinzani, wanaunga mkono juhudi zozote za serikali kuboresha maisha ya wananchi.

Savula aidha ameirejelea kauli ya Rais Kenyatta ya kuwaita 'washenzi ' watu wanaomshtumu kwa madai ya kutolizingatia eneo la Kati ya Nchi kimaendeleo akisema Rais anajukumu la kuwahudumiwa Wakenya wote kwa usawa bila kuyajali maeneo wanayotoka.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

Musalia Uhuru